TESDO MAKAO MAKUU TABORA

tesdo makao makuu

Usajili utafanyika kwa vituo vitatu, TABORA,DODOMA na DAR ES SALAAM, unatakiwa kudownload fomu kwenye blog ya asasi na kuijaza vyema, kisha unatakiwa ulipie ada ya uanachama na fomu kama inavyojieleza kwenye hiyo fomu. Akaunti no 01522250952400. Kwa kituo cha TABORA utakabidhi fomu yakokwa Mohamed Mapalala 0715449745, DODOMA Zahoro HM na Malale Buluba 0764492146. DAR ES SALAAM Mayasa Mzelela 0785314908, kasha baada ya muda utapatiwa risiti yako. Fomu inapatikana sehemu ya TESDO DOCUMENTS. Kwa maoni kuhusu utaratibu tuma kwenye email tesdo@rocketmail.com au simu 0716555450/0785314908.

Hamisi Masoud Mtwale

Mwenyekiti TESDO



About Us

Tabora economic and social development organization (TESDO) is a non-governmental organization established with the main intention of facilitating economic and social development in Tabora region (Nzega, Uyui, Igunga, Tabora Municipal, Sikonge and any other new district of Tabora region).
TESDO has been registered as non-governmental organization with the registration number 20NGO00004835.

Mission

To cooperates with Tabora community and other stakeholders in economic and
social activities for the purpose of enhancing development in Tabora region.

Vision
To become great facilitators and promoters of economic and social development in
Tabora region and Tanzania at large.