TESDO MAKAO MAKUU TABORA

tesdo makao makuu

Usajili utafanyika kwa vituo vitatu, TABORA,DODOMA na DAR ES SALAAM, unatakiwa kudownload fomu kwenye blog ya asasi na kuijaza vyema, kisha unatakiwa ulipie ada ya uanachama na fomu kama inavyojieleza kwenye hiyo fomu. Akaunti no 01522250952400. Kwa kituo cha TABORA utakabidhi fomu yakokwa Mohamed Mapalala 0715449745, DODOMA Zahoro HM na Malale Buluba 0764492146. DAR ES SALAAM Mayasa Mzelela 0785314908, kasha baada ya muda utapatiwa risiti yako. Fomu inapatikana sehemu ya TESDO DOCUMENTS. Kwa maoni kuhusu utaratibu tuma kwenye email tesdo@rocketmail.com au simu 0716555450/0785314908.

Hamisi Masoud Mtwale

Mwenyekiti TESDO



Objectives


The objectives of the organization are divided into general and specific objectives.
The general objective has to be attained by the organization as the whole. The
specific objectives will be the aims which will be met by the specific departments.

General objective:
The general objective of Tabora Economic and Social Development Organization
(TESDO) is enhancement of economic and social development in Tabora .by
cooperating with the Tabora Community in the activities thereof, imparting in
them applicable entrepreneurial knowledge and skills and thus encouraging their
participation in development activates. The welfare in this context reflects the
living standard in terms of annual income and social services.

Specific objectives:
The following are the specific objectives of Tabora Economic and Social
Development Organization (TESDO):
  • To create awareness and encourage the Tabora Community to invest in
  • education.
  • To impart and provide entrepreneurship skills and knowledge
  • respectively.
  •  Advising and encouraging Investors to invest in Tabora region.
  • Conducting researches on challenges facing the economic and social
  • sector in the region.
  • Encouraging the Tabora community participation and volunteerism in
  • economic and social development activities.