TESDO MAKAO MAKUU TABORA

tesdo makao makuu

Usajili utafanyika kwa vituo vitatu, TABORA,DODOMA na DAR ES SALAAM, unatakiwa kudownload fomu kwenye blog ya asasi na kuijaza vyema, kisha unatakiwa ulipie ada ya uanachama na fomu kama inavyojieleza kwenye hiyo fomu. Akaunti no 01522250952400. Kwa kituo cha TABORA utakabidhi fomu yakokwa Mohamed Mapalala 0715449745, DODOMA Zahoro HM na Malale Buluba 0764492146. DAR ES SALAAM Mayasa Mzelela 0785314908, kasha baada ya muda utapatiwa risiti yako. Fomu inapatikana sehemu ya TESDO DOCUMENTS. Kwa maoni kuhusu utaratibu tuma kwenye email tesdo@rocketmail.com au simu 0716555450/0785314908.

Hamisi Masoud Mtwale

Mwenyekiti TESDO



Monday, September 3, 2012

USHAURI WA TESDO KUHUSU UPATIKANAJI WA WALIMU KATIKA SHULE ZA SEKONDARI

1.0         Taarifa fupi kuhusu program ya asasi ya kujitolea kufundisha Awali ya yote tunapenda kuishukuru ofisi yako tukufu kwa kuwa sikivu kwa ushauri lakini pia kuchangia moja kwa moja katika kuhamasisha maendeleo ya kijamii na ya kiuchumi ya mkoa wetu wa Tabora. Asasi yetu imeshaanza kufanya jitihada za makusudi katika kunusuru ufaulu duni wa wanafunzi wa mkoa wetu wa tabora na kwa sasa ina kambi darasa kwa ajili ya kutunga mitihani, kufanya masahihisho na kufundisha na kisha kuzifundisha mada ambazo...

Sunday, August 5, 2012

WanaTESDO wakitoa huduma ya mitihani kwa wanafunzi wa Fundikira na Ruanzari

...

Monday, June 4, 2012

RIPOTI YA KIKAO CHA WAJUMBE WA TESDO TAREHE 03/06/2012

RIPOTI YA KIKAO CHA WAJUMBE WA TESDO TAREHE 03/06/2012 DDC MLIMANI PARK saa 10 jioni AJENDA   Ufunguzi   Mradi wa kujitolea kufundisha   Utafiti wa ufaulu duni wa mkoa wa Tabora,   Uzinduzi wa asasi,   Mengineyo   Kufunga kikao.  UFUNGUZI Mwenyekiti alimuomba mjumbe mmoja aombe ili kufungua kikao mnamo saa kumi jioni. MRADI WA KUJITOLEA KUFUNDISHA Mwenyekiti alitoa maelezo ya kina kuhusu mradi huo kisha akendelea kutoa sababu au fursa za kufanya hivyo ikiwa ni pamoja na kujengea heshima mkoa,...

Wednesday, May 30, 2012

NAFASI YAKO YAKUFANYA TAFITI KATIKA MKOA WA TABOA

...

Monday, May 28, 2012

TAARIFA FUPI YA SEMINA

UTANGULIZI Namshukuru Mungu kwa uwezo aliotupa Viongozi na Wana TESDO wa kuwatumikia vyema wana Tabora.Pia shukrani za dhati ziende kwa watendaji wa CG FM radio,VOT Radio na Mhe.Mstahiki Meya wa Manispaa kwa mchango wake wa TSH.50,000/=. URATIBU WA SEMINA Semina ya kuwaelimisha wanafunzi walio maliza kidato cha 6 na 4 iliratibiwa chini ya Uongozi wangu na wajumbe wa TESDO BW.Seifu Kazuge,Cassian Puis na Mansoor Juma tangu tarehe 21/05/2012 ofisini makao makuu Tesdo.Aidha mikamati ya kujitolea ilifanywa na majukumu kugawiwa wajumbe wote.  ...

Thursday, May 24, 2012

Wajumbe na Viongozi wa TESDO wakiwajibika

      Katibu Mtendaji       Viongozi wa tesdo wakijadili kuhusu program ya kujitolea kufundish ...

Wednesday, May 16, 2012

UJUMBE WA TESDO UMEMFIKIA MKUU WA MKOA WA TABORA

Tunamshukuru mungu ujumbe wa TESDO leo umemfikia mkuu wa mkoa wa TABORA, MH. FATUMA A. MWASA. Awali ya yote tunapenda kumpongeza mama yetu kwa jitihada ambazo anaonyesha katika mkoa wetu zikiwa katika kuhamasisha maendeleo ya uchumi na jamii. Tumemueleza adhma yetu na kwa kuwa ni mdau mkuu wa maendeleo ya mkoa ametuahidi kutuunga mkono na kutuchangia kwa mradi wetu wa elimu (TESDO INITIATIVES FOR IMPROVING PERFOMANCE OF SEC SCHOOLS IN TBR REGION) na zaidi ametushauri katika NYANJA ya uchumi kuhusu miradi miwili ya KILIMO. Mwisho amewapa...